5. A casa: le presentazioni

Siamo arrivati a casa mia.

Tumefika nyumbani kwangu

Entra, voglio presentarti la mia famiglia.

Karibu ndani (ingia), nataka kukutambulisha familia yangu

E’ permesso?

Hodi?

Avanti!

Karibu!

Ciao, come e’ andato il viaggio?

Hujambo? Habari za safari?

Bene, grazie.

Vizuri, asante

Lui e’ il mio amico.

Huyu ni rafiki yangu.

Sono andato a riceverlo all’aeroporto. Si chiama Lorenzo.

Nimekwenda kumpokea kwenye uwanja wa ndege. Anaitwa Laurenti.

Lei e’ mia moglie Marta.

Huyu ni mke wangu Martha

Lui e’ mio marito Bahati

Huyu ni mume wangu Bahati

Loro sono i miei figli.

Hawa ni waana wangu (wanangu).

Mio figlio si chiama Giovanni, mia figlia si chiama Nuru.

Mwana wangu (Mwanangu) anaitwa Johanne, binti yangu anaitwa Nuru.

Venite a salutare il nostro ospite.

Njooni kumsalimia mgeni wetu.

La riverisco, signor ospite.

Shikamoo, mgeni

Vi saluto, miei giovani!

Mara haba, vijana wangu!

Giovanni, chiama il nonno e la nonna.

Yohanne, uwaite babu na bibi.

Nessun commento: